Rais Uhuru Kenyatta amelihutubia taifa na kusisitiza kuwa hakuna atakayeonewa haya kwenye vita dhidi ya ufisadi na atakayetajwa ajiuzulu// Vikosi vya mashariki mwa Libya vinaudhibiti mji wa Gharyan, ulioko umbali wa kilomita 100 kusini mwa mji mkuu Tripoli