1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.10.2020 Matangazo Ya Mchana

SK2 / S02S2 Oktoba 2020

Rais wa Marekani Donald Trump amesema yeye na mkewe Melania wameambukizwa virusi vya corona na wanakwenda kukaa karantini// Rais Uhuru Kenyatta amekanusha madai kuwa atawania kipindi cha tatu baada ya kukamilisha muhula wake wa pili na wa mwisho kulingana na katiba ya Kenya

https://p.dw.com/p/3jLhv