Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO, limelijumuisha Ziwa Turkana nchini Kenya katika orodha ya turathi za dunia zilizo hatarini. Wataalamu wa shirika hilo wana wasiwasi na athari zitakazosababishwa na bwawa la Ethiopia la tatu la Gibe.