1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ziwa Turkana li hatarani - UNESCO

29 Juni 2018

Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO, limelijumuisha Ziwa Turkana nchini Kenya katika orodha ya turathi za dunia zilizo hatarini. Wataalamu wa shirika hilo wana wasiwasi na athari zitakazosababishwa na bwawa la Ethiopia la tatu la Gibe.

https://p.dw.com/p/30YkP