Wanubi wanavyodumisha utamani ugenini
5 Septemba 2014Matangazo
Wakati wa vita vya kwanza na pili vya dunia, watu wa jamii ya Nubi kutoka Sudan walijumuishwa katika jeshi la Mwingireza...kuendeleza mapigano dhidi ya jeshi la Ujerumani. Baada ya kuisha kwa vita hivyo Wanubi waliwekwa na Waingereza katika maeneo ya Kibera nchini Kenya na Bombo nchini Uganda, ambako wanaishi hadi sasa wakidumisha utamaduni wao.