SiasaWaislamu waadhimisha Sikukuu ya EidTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaJacob Safari15.06.201815 Juni 2018Waislamu kote duniani Ijumaa wamejumuika na wenzao kusheherekea sikukuu ya Eid ul fitr baada ya kufunga mwezi wa Ramadhani. Nchini Tanzania sala ya kitaifa ilisaliwa jijini Dar es Salaam. https://p.dw.com/p/2zcA4Matangazo