1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waburundi wapiga kura ya maoni

17 Mei 2018

Waburundi wanapiga kura ya maoni leo kuhusu mabadiliko ya katiba ambayo iwapo yatapitishwa, yatayaongeza mamlaka ya Rais Pierre Nkurunziza na kumuwezesha kuongoza hadi mwaka 2034.

https://p.dw.com/p/2xsKx