You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
UNICEF
UNICEF ni shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia watoto na wanawake katika mataifa yanayoendelea.
Ruka sehemu inayofuata Habari
Habari
16.07.2024
16 Julai 2024
Gambia yashikilia uamuzi wa kupiga marufuku ukeketaji
02.07.2024
2 Julai 2024
UNICEF: Ghasia za Haiti zasababisha watoto kuhama makazi
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Mahakama Israel: Wanaume wa Kiorthodox waandikishwe jeshini
Mahakama Israel: Wanaume wa Kiorthodox waandikishwe jeshini
Mahakama ya Israel imetoa uamuzi jeshi lianze kuwaandikisha wanaume wa madhehebu ya Kiorthodox kulitumikia jeshi.
UNICEF: Watoto mil 400 duniani wanapitia ukatili majumbani
UNICEF: Watoto mil 400 duniani wanapitia ukatili majumbani
UNICEF imesema karibu watoto milioni 400 wanakabiliwa na ukatili majumbani, kati yao asilimia 60 wapo chini ya miaka 5.
Robo ya watoto chini ya miaka 5 wana uhaba mkubwa wa chakula
Robo ya watoto chini ya miaka 5 wana uhaba mkubwa wa chakula
Ripoti ya UNICEF imebainisha kuwa robo ya watoto chini ya miaka mitano wanakabiliwa na upungufu mkubwa wa chakula
Israel kuendeleza vita Gaza hadi mwishoni mwa mwaka 2024
Israel kuendeleza vita Gaza hadi mwishoni mwa mwaka 2024
Hadi sasa zaidi ya watu 36,000 wameuawa, hii ikiwa ni kulingana na mamlaka zinazodhibitiwa na Hamas.
Mwaka 2024 unakaribia kuwa wenye joto zaidi kuwahi kutokea
Mwaka 2024 unakaribia kuwa wenye joto zaidi kuwahi kutokea
UNICEF: Watoto wako katika hatari zaidi kuliko watu wazima kwani hawana uwezo wa kudhibiti joto la miili yao.
Utapiamlo watishia kizazi kijacho cha Afghanistan
Utapiamlo watishia kizazi kijacho cha Afghanistan
Kupungua kwa misaada ya kimataifa na uhaba wa madaktari nchini humo kumedhoofisha mfumo mzima wa afya.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Wajawazito Ukraine wahofia kujifungua kabla ya wakati
Wanawake nchini Ukraine wanahofia kujifungua watoto kabla ya wakati kutokana na matatizo ya muda mrefu.
UNICEF yaomba dola bilioni 9.3 za kusaidia watoto 2024
UNICEF limetoa ombi la ufadhili wa dola bilioni 9.3 ili wafikie watoto waliokumbwa na majanga ya kibinadamu ifikapo 2024
UNICEF: Watoto 1,000 hufa kila siku kwa kunywa maji machafu
Ukosefu wa maji safi unasababisha vifo vya watoto 1,000 kila siku huku milioni 190 wakiwa hatarini.
Maudhui yote (161) kwenye mada hii