1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ufahamu ugonjwa wa kudhoofu mifupa 'Osteoporosis'

Hawa Bihoga18 Februari 2019

Umewahi kusikia kuhusu ugonjwa wa kudhoofu kwa mifupa mwilini kitabibu ``Osteoporosis``? Basi huo ni ugonjwa unaosababisha kulemaa kwa uthabiti wa mifupa kutokana na kupungua kwa madini ya `kalshiamu` na huifanya mifupa kuwa laini inayoweza kuvunjika kwa urahisi. Ugonjwa huo huanza taratibu kwa miaka mingi na mara nyingi hugundulika pale ajali ndogo tu inaposababisha mifupa kuvunjika.

https://p.dw.com/p/3DZyX