SiasaTrump kuongoza Mkutano wa Baraza la Usalama la UNTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaAmina Mjahid 26.09.201826 Septemba 2018Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kuongoza kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, kinachotazamiwa kuzungumzia masuala ya Uharibifu wa silaha za Nyuklia, pamoja na silaha za kemikali.https://p.dw.com/p/35Wo7Matangazo