Wauaji wa mwandishi habari wa Saudi Arabia Jamal Khashoggi walipata mafunzo ya kijeshi Marekani. Umoja wa Mataifa walitaka kundi la Taliban na serikali ya Afhanistan kurudi kwenye mazungumzo. Na katika michuano ya mataifa ya Ulaya Uingereza yaifunga Jamhuri ya Czech na Scotland yarejeshwa nyumbani na Croatia.