1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari za asubuhi 21.06.2021

V2 / S12S21 Juni 2021

Raia wa Ethiopia wapiga kura leo katika uchaguzi uanonadiwa na serikali kuwa ni wa kwanza ulio huku na wa haki. Chama cha Ufaransa cha mrengo wa kulia cha Marine Le Pen kimepata pigo kubwa kwenye duru ya kwanza ya uchaguzi wa serikali za mitaa. Na Njia kuu inayounganisha miji ya mashariki na magharibi mwa Libya imefunguliwa tena.

https://p.dw.com/p/3vGKK