Marekani yaonya uchokozi wa Iran unahatarisha mazungumzo ya nyuklia/
Serikali ya Afghanistan yaapa kupambana na kundi la wanamgambo wa Taliban/
Umoja wa Mataifa yaonyesha wasiwasi juu ya ghasia Eswatini/
Italia yatinga fainali ya Euro baada ya kuifunga Uhispania 4-2 kupitia mikwaju ya penalti.