1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa Ya Habari Ya Asubuhi: 24.04.2024

24 Aprili 2024

Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak anatazamiwa kukutana leo Jumatano na Kansela Olaf Scholz nchini Ujerumani. Baraza la Seneti la Marekani laidhinisha msaada wa mabilioni ya dola kwa Ukraine, Israel na Taiwan. Ujumbe wa Mawaziri wa Korea Kaskazini wameanza ziara ya nadra nchini Iran.

https://p.dw.com/p/4f74u