Tume ya uchaguzi Tanzania yamtangaza John Pombe Magufuli kuwa rais kwa muhula wa pili//Watu 17 wafariki dunia Ugiriki baada ya tetemeko kubwa la ardhi katika mji wa magharibi mwa nchi hiyo//Na Joe Biden na Donald Trump watafuta kura za mwisho kuelekea uchaguzi wa Jumanne huko Marekani.