Rais Biden akutana na Rais Kenyatta na kuahidi msaada wa dozi milioni 17 ya corona kwa Afrika. //
Watu wasiopungua sita wauawa Beirut kufuatia machafuko y aufyatuliaji risasi. //
Umoja wa Mataifa wasema idadi ya watoto wanaokabiliwa na utapia mlo Tigray imeongezeka maradufu.