1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taaluma ya utungaji na uandishi wa vitabu vya Kiswahili

Sudi Mnette4 Januari 2019

Makala ya Kinagaubaga, inaangazia tasnia ya utungaji, uandishi na uchapishaji wa vitabu hasa kwa lugha ya Kiswahili. Je tasnia hii imepiga hatua kwa kiwango gani? Changamoto zake? Sudi Mnette anamshirikisha Profesa Said Ahmed Mohamed kuyajadili hayo kwa kina.

https://p.dw.com/p/3B1sv