1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Syriza

Syriza ni chama cha siasa kali za mrengo wa kushoto nchini Ugiriki. Ndiyo chama kikubw azaidi katika bunge la nchi hiyo, na kiongozi wake Alexis Tsipras, ndiye waziri mkuu wa Ugiriki tangu Septemba 20, 2015.