You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Iran
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Sauti zetu
Vidio zetu
Salma Mkalibala
Ruka sehemu inayofuata Taarifa zilizoonesha na Salma Mkalibala
Taarifa zilizoonesha na Salma Mkalibala
Ujue umuhimu wa tiba sahihi ya mifupa
Wataalamu wa magonjwa ya mifupa wanaonya kuwa tiba zisizo sahihi za kuunganisha mifupa ni hatari kwa afya.
Umuhimu wa matamasha ya kiutamaduni katika jamii
Matamasha ya kitamaduni hayatoi burudani pekee, bali ni darasa lenye thamani kubwa kwa jamii.
Unafahamu kuwa 'Love Bite' inaweza kusababisha kiharusi?
Love Bite, au alama nyekundu inayotokana na busu kali kwenye ngozi huzingatiwa kama ishara ya mapenzi.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Salma Mkalibala
Taarifa na Salma Mkalibala
Wananchi wakosoa kampeni za uchaguzi wa Tanzania
Wananchi wakosoa kampeni za uchaguzi wa Tanzania
Tanzania iko kwenye kampeni za uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, ambao chama kikuu cha upinzani kilisusia.
Je Love Bite inaweza kusababisha kiharusi?
Je Love Bite inaweza kusababisha kiharusi?
Love Bite, au alama nyekundu inayotokana na busu kali kwenye ngozi huzingatiwa kama ishara ya mapenzi. Inapowekwa shingoni na alama kubakia mwilini hugandisha damu kwenye mshipa wa carotid na kusababisha kuziba kwa mtiririko wa damu kwenda kwenye ubongo.
Chekeni Salumu - msichana anayeandika kwa miguu Tanzania
Chekeni Salumu - msichana anayeandika kwa miguu Tanzania
Simulizi ya Chekeni Salumu ni mfano wa kuigwa wa ujasiri na matumaini. Licha ya kuzaliwa bila mikono, hakukata tamaa. Akiwa bado msichana mdogo, alijifunza kuandika kwa kutumia miguu na sasa anasoma shahada ya sheria katika Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Morogoro – jambo linaloonyesha kuwa ulemavu sio kikwazo cha mafanikio.
Mchakato wa kuchimba visima vipya vya gesi waanza Mtwara
Mchakato wa kuchimba visima vipya vya gesi waanza Mtwara
Serikali ya Tanzania yaanza mchakato wa kuchimba visima vipya vya gesi asilia katika Kitalu cha Mnazi Bay.
Ugunduzi wa Kifaa cha kuonya kutokea kwa tetemeko la ardhi
Ugunduzi wa Kifaa cha kuonya kutokea kwa tetemeko la ardhi
Mara nyingi utatuzi wa matatizo katika jamii ndio chachu ya kubuniwa kwa programu tofauti za kiteknolojia ili kuwasaidia wahitaji. Ugunduzi wa teknolojia mpya una nafasi ya kuleta faida kijamii, kiuchumi, kimazingira na mambo mengineyo.
Mpango wa 'Elimu haina mwisho' kwa wasichana
Mpango wa 'Elimu haina mwisho' kwa wasichana
Elimu haina mwisho, ni mradi maalum wa kuwasaidia wasichana Tanzania, ambao hawajamaliza kidato cha nne, waliositisha masomo kwa sababu mbalimbali, ikiwemo ya kupata ujauzito, ufukara ndani ya familia au kuugua kwa muda mrefu. Mradi huu unaratibiwa na Wizara ya Elimu nchini humo.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo