1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rais Samia Suluhu awafurahisha Wakenya

7 Mei 2021

Afrika wiki hii imeyadurusu yaliyojitokeza wiki nzima barani Afrika na miongoni mwao ni ziara ya rais wa Tanzania nchini Kenya Samia Suluhu iliyowasisimuwa wenyeji wake. Mahakama ya kimataifa inayoshughulikia kesi za uhalifui wa kivita ICC yamuhukumu miaka 25 jela kamanda wa zamani wa LRA Dominic Ongwen,na Jeshi la DRC lapewa mamlaka ya kuzingira Kivu kaskazini na Ituri.Ungana na Saumu Mwasimba

https://p.dw.com/p/3t7FH