Papa Francis apokelewa kwa shangwe Kenya25.11.201525 Novemba 2015Watu wengi walijitokeza kumlaki kiongozi huyo wa kanisa katoliki duniani katika uwanja wa kimataifa wa ndege Jomo Kenyatta mjini Nairobi. Bendera za Kenya na Vaitcan zimeonekana zikipepea kote mjini.https://p.dw.com/p/1HCUxPicha: Reuters/G. TomasevicMatangazo[No title]To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 audio