Waafrika wanaoishi Ujerumani wameanzisha mtandao wa Afrolynk wenye nia ya kuwasaidia wajasiriamali wa Kiafrika walioanzisha biashara zinazotatua matatizo ya jamii zao kwa kutumia teknolojia au njia za kidijitali.
https://p.dw.com/p/3Rf0j
Matangazo
Makala ya Sura ya Ujerumani inaangazia mtandao huo na jinsi gani Waafrika walio nje ya nchi zao na wale waliopo katika bara la Ulaya, wanavyonufaika na harakati hizi.