1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Msichana aliyeozwa kwa lazima utotoni hatimaye aolewa na chaguo lake

21 Aprili 2021

Nchini Ghana wasichana wengi huozwa kwa lazima kusaidia familia zao kuepuka hali ngumu za kifedha. Lakini wasichana hao wenye umri mdogo, hulazimika kuacha masomo, na wananyanyaswa kwenye ndoa.

https://p.dw.com/p/3sKpH