1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

MOGADISHU: Mapambano makali yameua watu 7

27 Oktoba 2007
https://p.dw.com/p/C7CH

Hadi watu 7 wameuawa katika mapigano makali yaliyotokea katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.Wengi wengine wamejeruhiwa.Waasi wa Kiislamu na vikosi vya Ethiopia vinavyoisaidia serikali ya mpito ya Somalia walipambana katikati ya Mogadishu.