JamiiMisemo katika mazungumzo miongoni mwa vijanaTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiHawa Bihoga19.01.202319 Januari 2023Vijana wamekuwa wakitumia misemo katika mawasiliano yao ya kila siku. Wenyewe wanasema inakuza mahusiano miongoni mwao na kuleta uchangamfu katika mazungumzo. Sikiliza makala ya vijana mchakamchaka.https://p.dw.com/p/4MQeNMatangazo