Tunatumia 'cookies' ili kuboresha huduma zetu kwako. Maelezo zaidi yanaweza kupatikana katika sera yetu ya faragha.
Idadi ya vifo vya corona Ulaya yapindukia 400,000.Iran yasema kuna ushahidi kwamba Israel imehusika na mauaji ya mwanasayansi wake Mohsen Fakhrizadeh. Viongozi wa jumuiya ya SADC wakutana kuijadili suala la ugaidi na usalama Msumbiji.
Tuma Facebook Twitter Whatsapp Web EMail Telegram Facebook Messenger Web
Kiungo https://p.dw.com/p/3lxA2
Shirika la hali ya hewa la Umoja wa Mataifa limesema viwango vya gesi chafu vinaongeza kwa na hakuna ishara ya kupungua. Ripoti hiyo imetolewa kabla ya mkutano wa kilele wa mabadiliko ya tabianchi wa wiki ijayo.
China Alhamisi imetishia kulipiza kisasi baada ya Marekani kupitisha sheria ya kuunga mkono vuguvugu la kupigania demokrasia mjini Hong Kong, katika wakati mataifa hayo yakiwa na mzozo wa kibiashara.