1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 26.06.2021

SK2 / S02S25 Juni 2021

Mahakama Kuu imebatilisha hukumu ya Hakimu mkazi Kisutu/ Umoja wa Ulaya umelikataa pendekezo la Ujerumani na Ufaransa lililoutaka Umoja huo kurejesha utaratibu wa mikutano na Rais Vladimir Putin wa Urusi /Wimbi la maambukizi ya kirusi cha Corona limerudi tena kwa kasi barani Afrika/Makaburi 751 yagunduliwa nchini Canada karibu na shule ya watoto wa kiasili

https://p.dw.com/p/3vZlX