1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya mchana 13.02.2021

SK2 / S02S13 Februari 2021

Maandamano ya kupinga mapinduzi ya kijeshi Myanmar yanaendelea kwa siku ya nane. Mario Draghi kuapishwa kama waziri mkuu mpya wa Italia. Na, Zimbabwe yajiandaa kupokea chanjo laki 8 za COVID-19.

https://p.dw.com/p/3pJNi