1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 03.04.2021

3 Aprili 2021

Polisi mmoja ameuwawa kufuatia shambulizi karibu na maeneo ya bunge nchini Marekani, Idadi ya waliokufa Myanmar kufuatia mapinduzi ya Februari mosi yafikia 550 na Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier anatarajiwa kulihutubia taifa, katika wakati mgumu wa COVID 19

https://p.dw.com/p/3rY5d