Mkuu wa NATO asema hakuna mpango kuwapeleka wanajeshi Ukraine bali watasaidia tu Ukraine ikiwa Urusi itaivamia.//
Khartoum: Polisi wawarushia waandamanaji mabomu ya kutoa machozi.//
Ripoti ya wataalam wa Umoja wa Mataifa yasema watoto 2,000 waliotumikishwa kijeshi Yemen waliuawa vitani.