Tunatumia 'cookies' ili kuboresha huduma zetu kwako. Maelezo zaidi yanaweza kupatikana katika sera yetu ya faragha.
Biden aidhinisha mpango wa mabilioni ya dola kuisaidia Ukraine. Marekani na Korea Kusini zasema huenda zitatanua luteka yao ya kijeshi. Waziri mkuu wa Australia akubali kushindwa katika uchaguzi
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amevitaka vyombo vya habari nchini humo vifuate sheria na amesema vile vitakavyokiuka vitakumbana na mkondo wa sheria.
Licha Serikali ya Burundi kufunga mipaka yake ya majini na nchi kavu tangu Januari 11 kwa ajili ya kujihadhari na virusi vya Corona, raia wa maeneo hayo wanaendelea na shughuli zao bila kuchukua tahadhari za kujikinga.
Moja kwa moja kutoka nyumbani kwa mabingwa wa soka wa dunia, Ligi ya Ujerumani, Bundesliga, inakujia sasa nyumbani kwako barani Afrika kupitia radio Deutsche Welle na washirika wake.