1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni 15.12.2019

SK2 / S02S15 Desemba 2019

VIDOKEZO: Wajumbe wa majadiliano katika mkutano wa COP25 wamaliza Madrid kwa kukubaliana kuhusu baadhi ya masuala lakini wamelazimika kuahirisha maamuzi muhimu hadi mwakani.//Washambuliaji kaskazini mwa Lebanon leo wamezichoma moto ofisi za vyama viwili vikuu vya kisiasa.//Kundi la wanamgambo wa Boko Haram limewaua wafugaji 19 kaskazini mashariki mwa Nigeria.

https://p.dw.com/p/3UrV3