Kesi ya mauaji ya kiongozi wa zamani wa Burkina Faso, Thomas Sankara imeanza kusikilizwa/ Uganda: Mashtaka dhidi ya Besigye/ Dunia inaadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike/ Umoja wa Mataifa wa kuandaa muongozo wa kulinda na kurejesha haiba ya mifumo ya ikolojia/ Maonyesho ya ya kwanza ya utalii katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.