1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya jioni 08.11.2020

SK2 / S02S8 Novemba 2020

Iran yamtaka Joe Biden kuirudisha Marekani kwenye makubaliano ya nyuklia. Azerbaijan yasema inadhibiti mji wa Shushi huku Armenia ikikana madai hayo. Na, Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed awafuta kazi maafisa wa ngazi za juu mashambulizi yakiendelea Tirgay.

https://p.dw.com/p/3l1j6