1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Asubuhi 29.12.2020

TSA / S08S29 Desemba 2020

Jumuiya ya kujihami ya NATO inaelekea kwenye mwaka mpya 2021 kwa matumaini makubwa ya kuanzisha upya uhusiano na nchi za Ulaya na Marekani// Rais ajaye wa Marekani Joe Biden huenda akafanya maisha ya Rais wa Urusi Vladmir Putin kuwa magumu pindi atakapoingia madarakani// Hata baada ya kufikiwa makubaliano ya Brexit, kwa wengi mchakato huo bado ni kitendawili.

https://p.dw.com/p/3nJIB