Rais wa Aghanistan Ashraf Ghani aanza ziara yake mjini Washington/ Siku 100 za kwanza za uongozi wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan/ Uganda; Wanafunzi wa kigeni waliokwama katika taasisi zao/ Kenya; Uraibu wa kuvuta gundi ni hatari kwa maisha ya mwanadamu/ Wakimbizi 29 wasio na uraia kushiriki mashindano ya mwaka huu ya Olimpiki mjini Tokyo