Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni pamoja na: Iran// Serikali ya Tanzania kupanga mradi kuifanya bandari ya Bagamoyo kuwa chachu ya ukuaji uchumi wa Afrika// Maonyesho makubwa kabisa ya teknolojia ya habari na mawasiliano duniani, Cebit, kuingia siku ya tatu mjini Hannover, Ujerumani