1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Watano wauawa Mubanza , Burundi

Amida Issa18 Aprili 2018

Watu watano wameuwawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mashambulizi mawili mkoani Mubanza magharibi mwa Burundi. Mjini Bujumbura ifikapo saa 12 jioni idadi kubwa ya askari wa usalama hutawanya mitaani kupiga doria. Pamoja na hayo Waziri wa usalama Alain Guillaume Bunyoni amesema kwa jumla hali ni ya kuridhisha.

https://p.dw.com/p/2wG1D