Mjadala "Maoni Mtaani" ulioendeshwa kwa pamoja kati ya idhaa ya kiswahili ya DW na kituo cha Radio cha RFA nchini Tanzania na kujumuisha pia hafla ya kusherehekea ushirikiano wa miaka 20 kati ya Idhaa ya kiswahili ya DW na RFA umetia fora mjini Mwanza.