Kulingana na utafiti wa wataalamu, miongoni mwa watoto 10 wanaozaliwa, sita hukumbwa na maradhi ya homa ya manjano. Homa ya manjano inasababishwa na kijenzi chenye rangi ya manjano kilichomo ndani ya chembehai nyekundu kinachoitwa Bilirubin. Zainab Aziz ndiye mtayarishaji wa Makala hii.