1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Makala ya Afrika Wiki Hii

24 Mei 2024

Serikali ya Jamhuri ya Kidemkorasia ya Congo, yafanikiwa kuzima jaribio la mapinduzi, lililofanyika katika ikulu ya rais mjini Kinshasa. Rais wa Kenya william Ruto afanya ziara mjini Washington alikokutana na mwenzake wa Marekani Joe Biden na Kiongozi wa upinzani Uganda Robert Kyagulanyi apinga kuzuwiwa kwa mikutano yao ya kisiasa. Jiunge na Amina Abubakar Mjahid katika Afrika Wiki Hii.

https://p.dw.com/p/4gGHH