1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Makaburi ya watu wengi yaliyogunduliwa Belarus

Iddi Ismail Ssessanga14 Agosti 2019

Miaka 30 iliyopita, makaburi ya watu wengi yaligunduliwa Belarus. Baada ya kufukuliwa ilijulikana kwamba wahanga hao wanaofika robo milioni waliuawa wakati wa takasatakasa ya kiongozi wa zamani wa Jamhuri ya Kisovieti, Joseph Stalin. Ungunduzi huo umezua maandamano. Ungana na Iddi Sessanga katika Mwanagaza wa Ulaya.

https://p.dw.com/p/3NsNR