SiasaMahasimu wa Sudan Kusini wasaini makubaliano ya kugawana madarakaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSudi Mnette06.08.20186 Agosti 2018Viongozi wanaohasimiana nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na makamu wake wa zamani Riek Machar, wamesaini makubaliano ya mwisho ya kugawana madaraka.https://p.dw.com/p/32g21Matangazo