Baadhi ya vijana na wasanii hujikuta taabani baada ya picha au video zinazostahili kuwa za siri kusambaa mitandaoni. Katika siku za hivi karibuni, tatizo hili limejitokeza kwa baadhi ya wasanii nchini Tanzania. Katika makala ya Vijana Mchakamchaka, Bruce Amani anaangazia suala hilo pamoja na madhara yake