1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Vyombo vya habari

Maarifa na mwamko kupitia habari

12 Machi 2013

Katika kuadhimisha miaka 50 ya Idhaa ya Kiswahili, Deutsche Welle iliitisha mdahalo jijini Dar es Salaam, Tanzania, juu ya dhima ya vyombo vya habari katika kujenga maarifa na mwamko miongoni mwa jamii.

https://p.dw.com/p/17vhr
The German Ambassador to Tanzania Klaus Peter Brandes addresses journalists during a Press Conference in Dar es Salaam on 20.02.2013 in preparation for the 50th Anniversary of DW Kiswahili. Copyright: DW/Mohammed Khelef
Pressekonferenz in Dar es Salaam DW KisuaheliPicha: DW/M. Khelef

Mohammed Khelef anaongoza mdahalo uliowashirikisha Valarie Msoka wa TAMWA, Jenerali Ulimwengu wa Raia Mwema, Assah Mwambene wa Idara ya Habari Maelezo, Maggid Mjengwa wa Mjengwa Blog, Mohammed Abdulrahmaan wa Idhaa ya Kiswahili ya DW.