1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kauli ya rais Tanzania juu ya kufunguliwa vyombo vya habari yazua gumzo lakini pia ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali wa mahesabu yawaamsha waliolala

9 Aprili 2021

Afrika wiki hii inayamulika matukio yaliyojitokeza barani Afrika wiki nzima.Nchini Tanzania ni mjadalla ulioibuka baada ya rais Samia Suluhu kuruhusu kufunguliwa vyombo vya habari vilivyofungiwa lakini pai ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali wa mahesabu iliyoibua mazito ya hali ya upotevu wa fedha na hasara nchini humo yawaamsha waliolala. Sikiliza Afrika wiki hii na Saumu Mwasimba

https://p.dw.com/p/3rmr4
Tansania Daressalam| Amtseinführung neue Präsidentin Samia Suluhu Hassan
Picha: AFP/Getty Images