1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Karl Marx

Karl Marx (1818-1883) alikuwa mwanafalsafa mzaliwa wa Ujerumani wa karne ya 19 ambaye kazi zake zilihusisha nadharia za kiuchumi, sosholojia na siasa na baadae zilikuja kubadili siasa katika mataifa mengi duniani.