Francois Hollande amesema magaidi waliolivamia kanisa la Normandy na kuwateka nyara watu pamoja na kumkata kichwa padri mmoja mzee ni wafuasi wa dola la Kiislamu// Jee miji ya Munic,Würzburg, Reutlingen na Ansbach ina maana gani kwa Merkel anaetetea sera ya uwakaribisha wakimbizi?// Bill Clinton anatarajiwa kuwashawishi wajumbe wa mkutano mkuu wa Democratic.