Syria-Mashambulizi makali yameendelea leo katika mji wa Aleppo// Mizozo ya kimataifa imejidhihirisha wazi katika mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa mwaka huu, huku wazungumzaji wa karibuni zaidi wakifuata mkumbo huo//Jaji David Maraga aliteuliwa jana kuwa Jaji Mkuu wa Kenya// Yahoo imewekewa shinikizo kali hii Leo.