Magufuli yuko kisiwani Pemba kwa mara yake ya kwanza tangu alipotwaa madaraka// Kongo- Mazungumzo yanaendelea ya kujaribu kutafuta mwafaka utakaoiepusha nchi hiyo kuingia katika vurugu za kisiasa baadae mwakani utakapomalizika muhula wa rais kabila madarakani// Putin amesema taifa lake na Marekani watakuwa karibu katika kufikia makubaliano kuhusu mgogoro wa Syria.