Oxfam-Karibu wakimbizi milioni nne wamezikimbia nchi zenye machafuko, na kukimbilia maeneo ambayo pia yana mizozo// Afrika Mashariki- kuongezeka kwa biashara ya bidhaa bandia katika mataifa haya imeathiri uchumi wao// Wanataalamu wa lugha ya Kiswahili katika ukanda wa Afrika Mashariki wametakiwa kuchangamkia fursa ya kutumiwa kwa lugha hiyo kama lugha rasmi.